<?xml version="1.0" ?>
<rss version="2.0">
<channel>
<description> </description>
<link>http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/</link>
<title>  WAM in Swahili  </title>
<lastBuildDate>Sat, 21 Jul 2010 11:12 GMT </lastBuildDate>
<managingEditor>mgutierrez@ips.org (Miren Gutierrez)</managingEditor>
<webMaster> newsletters@ipsnews.net (Walter Garcia)</webMaster>
<language>SW-sw</language>
<image>
<title>  WAM in Swahili  </title>
<url>http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/wam.jpg</url>
<link>http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/</link>
<width>144</width>
<height>55</height>
</image>
<item>
<title>
INDIA-PAKISTAN: Wakati wa kuelekea kwenye mazungumzo, linasema gazeti la UAE
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=237
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=237</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatyo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Julai 15  &#040;WAM&#041; &#045; Muda umefika ambapo India na Pakistan wanapaswa 
kuelekea kwenye mazungumzo. Mawaziri kutoka nchi zote mbili 
watajaribu kufufua mchakato wa majadiliano ambapo kwa kupitia 
kwayo hali ya amani inaweza kufikiwa, lilipendekeza gazeti la 
kila siku la Muungano wa Umoja wa Kiarabu (UAE). 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Vikwazo vya uwekezaji nchini Misri vyaondolewa 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=236
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=236</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatyo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
CAIRO&#044; Julai 9  &#040;WAM&#041; &#045; Balozi wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini 
Misri na Mwakilishi wa Umoja wa Kiarabu Mohammed Nakheera 
Al-Dhaheri walifanya mikutano na viongozi wa Misri kama sehemu ya 
jitihada za kuondokana na vikwazo vya uwekezaji katika kilimo, 
mawasiliano ya simu na nishati nchini Misri. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Mawaziri wa mambo ya nje wakutana Abu Dhabi
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=234
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=234</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Juni 24  &#040;WAM&#041; &#045; Mawaziri wa mambo ya nje walikutana jana jioni 
katika Hoteli ya Emirates Palace mjini Abu Dhabi, katika Muungano 
wa Falme za Kiarabu (UAE), katika mkutano ambao uliongozwa na 
Waziri wa Mambo ya Nje wa UAE Sheikh Abdullah bin Zayed Al 
Nahyan, mbele ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Kiarabu Amr Musa. 

</description></item>
<item>
<title>
UAE: FNC, Bunge la taifa la China wataka kuwa na mahusiano makubwa 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=233
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=233</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
DUBAI&#044; Juni 15  &#040;WAM&#041; &#045; Naibu wa Kwanza wa Spika wa Baraza la Shirikisho la 
Taifa (FNC) la Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Ahmed Shabeeb 
Al-Dhaheri na Kansela wa Siasa katika Ubalozi wa China Li 
Lingbing mjini Abu Dhabi, wamejadili njia za kukuza mahusiano ya 
Bunge, uwekezaji na utalii baina ya UAE na China. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Wizara ya Mazingira na Maji yakamata chui 15
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=232
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=232</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
DUBAI&#044; Juni 10  &#040;WAM&#041; &#045; Wizara ya Mazingira na Maji ya Muungano wa Falme za 
Kiarabu (UAE) imekamata chui 15 ambao walisafirishwa kutoka 
Jamhuri ya Somalia, lakini hawana kibali chochote cha serikali 
wala vyeti vya afya. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: RCA yakamilisha ujenzi wa Wilaya ya Sheikh Zayed Mjini Jerusalem 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=231
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=231</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
JERUSALEM&#044; Mei 27  &#040;WAM&#041; &#045; Wilaya ya Sheikh Zayed mjini Jerusalem ni moja ya 
miradi muhimu ya ujenzi inayofadhiliwa na kuendeshwa na Mamlaka 
ya Nusu Mwezi (RCA) ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) katika 
makazi ya Wapalestina. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Balozi wa kwanza wa Vatican awakilisha hati zake kwa Papa
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=230
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=230</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
VATICAN&#044; Mei 21  &#040;WAM&#041; &#045; Balozi wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini 
Hispania Dk. Hessa Abdullah Ahmad Al- Otaiba amewasilisha hati 
zake kwa Papa Benedict wa XVI kama Balozi wa UAE mjini Vatican 
asiyekuwa mkaazi. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Mfuko wa Khalifa waendelea kutoa misaada ya kiutu nchini Afghanistan
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=229
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=229</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
KABUL&#044; Mei 14  &#040;WAM&#041; &#045; Mfuko wa Misaada wa Khalifa bin Zayed Al Nahyan 
katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) chini ya Ubalozi wa UAE 
mjini Kabul, ulitoa misaada na vifaa kwa watu wanaohitaji katika 
jimbo la Badakhshan kaskazini mwa Afghanistan. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Lugha ya Kichina yaingizwa kwenye shule za awali za Abu Dhabi 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=228
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=228</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Mei 10  &#040;WAM&#041; &#045; Shule za awali za Abu Dhabi na shule za China 
ziliandaa mpango wa wazazi wa wanafunzi wapya ambao watajiunga 
katika mwaka wa masomo katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) 
kuongeza mawasiliano miongoni mwao. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Azimio la Baraza la Mawaziri launganisha TRA, GIA
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=227
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=227</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Apr. 19  &#040;WAM&#041; &#045; Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wa Muungano wa Falme 
za Kiarabu (UAE) na Mtawala wa Dubai Sheikh Mohammed bin Rashid 
Al Maktoum imetoa azimio la kuunganisha Mamlaka ya Habari za 
Jumla (GIA) katika Mamlaka ya Kudhibiti Mawasiliano ya Simu (TRA) 
na kuimarisha sekta ya e-government. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Ubalozi wa Ufaransa waandaa Maonesho ya Kwanza ya Elimu 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=226
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=226</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Apr. 13  &#040;WAM&#041; &#045; Maonesho ya kwanza ya Elimu ya Ufaransa katika 
Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) yatafanyika katika Chuo cha 
HCT Men, mjini Abu Dhabi, Aprili 18. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Waziri wa Mambo ya Nje akutana na mwenzake wa Peru
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=225
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=225</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Aprili 5  &#040;WAM&#041; &#045; Waziri wa Mambo ya Nje wa Muungano wa Falme za 
Kiarabu (UAE) Sheikh Abdullah bin Zayed Al Nahyan jana alimpokea 
katika Ikulu ya Emirates ya Abu Dhabi Waziri wa Mambo ya Nje wa 
Peru Jose Antonio Garcia-Belaunde na ujumbe ulioongozana naye 
ambao kwa sasa unafanya ziara nchini humo. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Wizara ya mambo ya nje yalaani mashambulizi ya kigaidi mjini Moscow
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=224
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=224</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Machi 30  &#040;WAM&#041; &#045; Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) umelaani kwa 
nguvu zake zote mashambulizi mabaya ya kigaidi katika vituo vya 
njia za chini ya ardhi mjini Moscow, kuua na kujeruhi watu 
kadhaa. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Misikiti yazima taa kuadhimisha Saa ya Dunia 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=223
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=223</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Machi. 26  &#040;WAM&#041; &#045; Bila kuvuruga ibada, mamia ya misikiti katika falme 
saba za Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) itazima taa kwa saa 
moja Machi 27 kuadhimisha Saa ya Dunia. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Ushirikiano na Marekani wajadiliwa 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=222
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=222</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Machi 19  &#040;WAM&#041; &#045; Waziri Msaidizi wa Mambo ya Nje katika Masuala ya 
Kiuchumi wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Khalid Ghanim Al 
Ghaith alikutana hapa jana na Ofisa wa Uchumi wa Ubalozi wa 
Marekani Susannah Cooper. 
</description></item>
</channel>
</rss>
