<?xml version="1.0" ?>
<rss version="2.0">
<channel>
<description> </description>
<link>http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/</link>
<title>  WAM in Swahili  </title>
<lastBuildDate>Sun, 29 Apr 2012 20:07 GMT </lastBuildDate>
<managingEditor>mgutierrez@ips.org (Miren Gutierrez)</managingEditor>
<webMaster> newsletters@ipsnews.net (Walter Garcia)</webMaster>
<language>SW-sw</language>
<image>
<title>  WAM in Swahili  </title>
<url>http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/wam.jpg</url>
<link>http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/</link>
<width>144</width>
<height>55</height>
</image>
<item>
<title>
UAE: Yasaini Makubaliano na Ureno Juu ya Ushirikiano katika Nishati Mbadala, Elimu ya Juu 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=263
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=263</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
LISBON&#044; Aprili 28  &#040;WAM&#041; &#045; Waziri wa Mambo ya Nje wa Muungano wa Falme za 
Kiarabu (UAE) Sheikh Abdullah bin Zayed Al Nahyan alikutana jana 
na mwenzake wa Ureno Paulo Portas na kujadili mahusiano baina ya 
nchi hizo mbili na jinsi ya kuongeza ushirikiano katika nyanja 
zote. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Wizara ya Mambo ya Nje Yalaani Milipuko ya Kabul 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=262
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=262</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Aprili 18  &#040;WAM&#041; &#045; Muungano wa Jumuiya ya Kiarabu (UAE) ulilaani kwa 
nguvu zake zote mfululizo wa milipuko ya mabomu ya kigaidi ambayo 
yalilipuka katika eneo kuu la kidiplomasia mjini Kabul na miji 
mingine mitatu ya Afghanistan na kuua watu 47 na kujeruhi watu 
wengine kadhaa.
</description></item>
<item>
<title>
INDIA-PAKISTAN: Waelekeza Nguvu Katika Kujenga Vitega Uchumi na Mitandao ya Kiuchumi, Linasema Gazeti la UAE
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=261
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=261</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Aprili 10  &#040;WAM&#041; &#045; Gazeti katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) 
limesema kuwa uboreshwaji wa mahusiano na mazungumzo ya mara kwa 
mara kati ya India na Pakistan kutaleta faida kwa nchi zote mbili 
na kutaondokana na masuala ambayo yamefanya mchakato huu kuwa 
adui kwa miaka mingi sasa. 
</description></item>
<item>
<title>
SYRIA: Nafasi ya Al Assad ya Kusitisha Umwagaji Damu 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=260
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=260</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Aprili 5 &#040;WAM&#041; &#045; Uamuzi wa rais wa Syria, Bashar Al Assad wa 
kukubali mpango wa amani na kuruhusu timu za wanachama wa Umoja 
wa Mataifa kuingia nchini Syria kunampatia fursa nzuri ya 
kujaribu na kufufua hali ya kujali kwake haki za binadamu ambayo 
ilianza kufifia. Kwa maana hiyo, fursa hiyo isipokelewe kwa 
kuendelea kuenea kwa ghasia kabla ya tarehe ya mwisho ya Aprili 
10 iliyopangwa kusitisha vita nchini humo, limetoa maoni gazeti 
la kila siku katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE). 

</description></item>
<item>
<title>
UAE-SYRIA: Baraza la Biashara lazinduliwa mjini Damascus
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=259
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=259</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
DAMASCUS&#044; Des. 28  &#040;WAM&#041; &#045; Baraza la Biashara la Muungano wa Falme za Kiarabu 
(UAE) na Syria lilizinduliwa jana jioni mjini Damascus mbele ya 
Waziri wa Biashara za Nje wa UAE Sheikha Lubna bint Khalid Al 
Qasimim na Naibu Waziri Mkuu wa Syria anayehusika na Masuala ya 
Uchumi Abdullah Dardari. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Wizara ya Elimu yakanusha uhaba wa walimu 800 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=258
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=258</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Des. 20  &#040;WAM&#041; &#045; Wizara ya Elimu ya Muungano wa Falme za Kiarabu 
(UAE) imekanusha taarifa za vyombo vya habari kuwa kuna uhaba wa 
walimu 800 katika shule za serikali nchini. 
</description></item>
<item>
<title>
AJIRA-UAE: Kamati yasaidia mishahara ya wafanyakazi 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=257
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=257</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
DUBAI&#044; Des. 17  &#040;WAM&#041; &#045; Kamati ya Migogoro ya Muungano wa Falme za Kiarabu 
(UAE) ikiwa inaundwa na Wizara ya Kazi, Idara ya Polisi ya Dubai 
na mamlaka nyingine za juu imekuja na ufumbuzi ambao utamaliza 
mgomo wa wafanyakazi katika makampuni mawili tofauti katika sekta 
ya ujenzi na usalama ambao walisitisha kazi kutokana na 
kutokulipwa mishahara kwa kipindi cha miezi minne. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Viongozi wa GCC wapitisha tamko la kuhitimisha mkutano wa kilele
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=256
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=256</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Des. 7  &#040;WAM&#041; &#045; Viongozi wa Baraza la Ushirikiano wa Mataifa ya 
Ghuba (GCC) walifanya mkutano wao wa pili wa ndani katika Ikulu 
ya Falme za Kiarabu mchana huu chini ya uenyekiti wa Rais wa 
Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Sheikh Khalifa bin Zayed Al 
Nahyan na kupitisha tamko la kuhitimisha mkutano ambalo 
litatatolewa baada ya mkutano wa ndani wa 31 wa GCC kumalizika. 

</description></item>
<item>
<title>
UAE: Ushirikiano wa kidiplomasia na Mt. Lucia waanza
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=255
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=255</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Nov. 30  &#040;WAM&#041; &#045; Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Masuala ya Kigeni 
wa Muungano wa Falme za Kairabu (UAE) Anwar Mohammed Gargash jana 
alimpokea Stephenson King, Waziri Mkuu wa kisiwa cha Mt. Lucia, 
katika Bahari ya Caribbean, na ujumbe alioongozana nao. 

</description></item>
<item>
<title>
UAE: Shirika la Nusu Mwezi Mwekundu lajenga nyumba kwa ajili ya maskini wa Vietnam
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=254
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=254</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
HANOI&#044; Nov. 22  &#040;WAM&#041; &#045; Ubalozi wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) 
nchini Vietnam umeshaanza kutekeleza mradi wa kujenga nyumba kumi 
kwa ajili ya maskini na wenye mahitaji mjini Hanoi. 
</description></item>
<item>
<title>
WANAWAKE: Sayansi ni Msingi wa maendeleo, linasema gazeti la ndani ya nchi
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=253
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=253</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM) &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Nov. 16  &#040;WAM&#041; &#045; Kwa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE), sayansi na 
fani za utafiti zinatoa fursa kubwa kwa ukuaji na maendeleo ya 
kiuchumi. Kutokana na utajiri mkubwa wa taifa hilo katika 
rasilimali za elimu na dira yake katika kuendeleza jamii ya 
kisasa na yenye maendeleo, wanawake wengi lazima kuhamasishwa 
kufuatilia sekta ya sayansi, kulingana na gazeti la Lugha ya 
Kiingereza la kila siku. 
</description></item>
<item>
<title>
GHUBA: Umoja wa Kifedha hautawezekana bila UAE
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=252
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=252</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
DUBAI&#044; Nov. 8  &#040;WAM&#041; &#045; Nchi ya pili kwa kuwa na uchumi mkubwa katika 
Ghuba, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) ni eneo muhimu katika 
Umoja wa Kifedha na Kuwa na Sarafu Moja katika Baraza la 
Ushirikiano la Ghuba (GCC), mkuu wa GCC alithibitisha jana. 

</description></item>
<item>
<title>
UAE: Rais, Makamu Wake Wapeleka Salamu za Rambirambi kwa Rais wa Argentina
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=251
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=251</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
ABU DHABI&#044; Okt. 29  &#040;WAM&#041; &#045; Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Sheikh 
Khalifa bin Zayed Al Nahyan amepeleka salamu za rambirambi kwa 
Rais Cristina Fern&#225;ndez de Kirchner wa Argentina kufuatia kifo 
cha mume wake, rais wa zamani wa Argentinean, Nestor Kirchner. 

</description></item>
<item>
<title>
UAE: Rais wa Vietnam Ampokea Abdullah Bin Zayed
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=250
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=250</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
HANOI&#044; Okt. 23  &#040;WAM&#041; &#045; Rais wa Vietnam Nguyen Minh Triet alimpokea Waziri 
wa Mambo ya Kigeni wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Sheikh 
Abdullah Bin Zayed Al Nahyan na ujumbe alioongozana nao katika 
Ikulu ya Hanoi Ijumaa jioni. 
</description></item>
<item>
<title>
UAE: Wizara ya Afya yaandaa mdahalo kuhusu kampeni ya kansa ya matiti 
</title>
<link>
http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=249
</link>
<guid isPermaLink="true">http://ipsinternational.org/africa/sw/wam/nota.asp?idnews=249</guid>
<author> Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)  &lt;editors@ipsnews.net&gt;</author>
<description>
DUBAI&#044; Okt. 13  &#040;WAM&#041; &#045; Wizara ya Afya ya Muungano wa Falme za Kiarabu 
(UAE) inaandaa kampeni maalum ya kansa ya matiti wakati wa mwezi 
wa Oktoba kama sehemu ya taifa hilo ya maadhimisho dhidi ya 
ugonjwa huo. 
</description></item>
</channel>
</rss>

