IPS Inter Press Service - Independent News
   Inter Press Service News Agency
Thursday, March 11, 2010   05:11 GMT    
  Subscribe !
 

Enter your email and receive TerraViva Africa, our free weekly journal

   Homepage
   World Service
   East Africa
   Southern Africa
   West Africa
   Central Africa
 
   Environment
   Health-HIV/AIDS
   Education
   Rights
   Politics
   Economics
   and Finance
   Development
   Energy
   Population
   Culture
 
   Radio Service
 
   Français
 
   About IPS
   ENGLISH
   ESPAÑOL
   FRANÇAIS
   SVENSKA
   ITALIANO
   DEUTSCH
   SWAHILI
   NEDERLANDS
   ARABIC
   SUOMI
   PORTUGUÊS
   JAPANESE
Readers Opinions
AFGHANISTAN : Korea Kusini yapitisha kupelekwa kwa askari
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
SEOUL, Feb. 25 (WAM) - Bunge la Korea Kusini Alhamisi lilipitisha muswada wa serikali wa kupeleka askari 320 na maafisa wa polisi 40 kwenda Afghanistan kulinda wafanyakazi wa ujenzi raia 100 ambao Seoul itawapeleka kwenda Charikar, mji mkuu wa jimbo la Parwan nchini Afghanistan, kusaidia kujenga upya taifa hilo lililoharibiwa na vita.

UAE : Wizara ya Elimu kuanzisha kituo cha wenye vipaji
Kwa Wahariri:Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
DUBAI, Feb. 20 (WAM) - Waziri wa Elimu wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Humaid Mohammad Al Qatami alisema kuwa Wizara yake itaanzisha kituo cha vipaji maalum kwa uratibu na Tuzo ya Sheikh Hamdan bin Rashid Al Maktoum ya Matokeo Bora katika Taaluma.

YEMEN : Wakati bunduki zinapokuwa kimya, hatari nyingine zinaibuka, linasema gazeti la UAE
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Feb. 13 (WAM) - Wakati milio ya bunduki imenyamaza kaskazini, Yemen ina hatari nyingine halisi ya kuituliza; kuibuka tena kwa waasi wa Al Qaeda na watu waliojitenga katika upande wa kusini, lilionya gazeti la Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE).

HAITI : Serikali yapongeza jukumu la kibinadamu la UAE
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
PORT-AU-PRINCE, Feb. 10 (WAM) - Serikali ya Haiti imepongeza jitihada za Mamlaka ya Nusu Mwezi Mwekundu ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) katika maeneo mbalimbali ya kukabiliana na mateso ya watu wa Haiti.

Q&A : Kujenga Kasi ya Ushiriki wa Wanawake
Paula Fray anamhoji ANNE-MARIE GOETZ, mshauri mkuu wa UNIFEM wa Utawala, Amani na Usalama
NEW DELHI, Feb 9 (WAM) - Makundi ya harakati ya haki za wanawake yamekuwa na jukumu muhimu katika kujenga nafasi ya kisiasa kwa ushiriki wa wanawake katika siasa duniani kote. Kwa hakika, kuna wanawake wengi zaidi katika serikali leo hii ikilinganishwa na siku za nyuma.

ETHIOPIA : Wapinzani wa Bwawa Hawataacha Kupinga
Na Mwandishi wa IPS
ADDIS ABABA, Feb 6 (WAM) - Ethiopia inajenga bwawa la urefu wa mita 240 katika Mto Omo ambalo linalenga kumaliza uhaba wa umeme nchini humo na kuuza baadhi kwa nchi jirani. Lakni siyo kila mmoja anafurahia.

MAZINGIRA : Kuifanya Ardhi Oevu Kuwa Oevu
Stephen Leahy
VICTORIA, Shelisheli, Feb 5 (WAM) - Vinamasi na ardhi nyingine oevu zinaanza kutambulika kama 'lulu', ya taifa katika eneo zuri la kitropiki kama vile Kisiwa cha Mahé hapa Shelisheli, huku fukwe zake mawe ya baharini vikivutia.

SUDAN : Bashir Anaweza Kukabiliwa na Mashitaka ya Mauji ya Halaiki
Na Zukiswa Zimela
JOHANNESBURG, Feb 9 (WAM) - Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita inatathmini uamuzi wake wa awali wa kutokuongeza suala la mauaji ya halaiki katika mashitaka yanayomkabili rais wa Sudan Omar al-Bashir.

 

 

Next >>

 
English Version
Versión en español
Version em português
Japanese Version
 WAM News in English
News in RSS
HEALTH-UAE: Comprehensive newborn screening programme launched in Abu Dhabi
MIDDLE EAST: Soft Washington emboldens Israel, says UAE paper
CULTURE-UAE: \"Henna,\" first Emarati film to participate in Twin Cities Festival
UAE: FM denies giving any statements in Paris to Israeli media
UAE: Chilean Embassy launches charity campaign for earthquake victims
More >>
 IPS News in Swahili
News in RSS
DR-KONGO: EU Tatakiwa Kupiga Marufuku 'Madini kutoka Kwenye Vita'
ZIMBABWE: Katiba Yaangaliwa Tena
ZIMBABWE: Sekta Isiyo Rasmi Yavutia Wahitimu wa Chuo Kikuu
Tanzania: Muswada wa Fedha za Uchaguzi Utawawezesha Wanawake
HAKI: Samaki Watafanya Nini Katika Sahara Magharibi
More >>
 Latest News from Africa
News in RSS
TANZANIA: Weather Changes Turn Farming into Gamble with Nature
ENVIRONMENT-UGANDA: Landslides - Experts Warn Worst is Yet to Come
NAMIBIA: Female Hip-Hop Artists Challenge Stereotypes
MALAWI: Patrilineal Inheritance Prevents Women’s Access to Land
INTERNATIONAL WOMEN’S DAY: ‘We Will Demonstrate, As They Celebrate’
HEALTH-SOUTH AFRICA: More Funds Needed for HIV Prevention and Treatment
HEALTH-SOUTH AFRICA: Five Years to Children Born Free of HIV
SOUTH AFRICA: Community Fears World Cup Will Cause Homelessness
MALAWI: Climate Change Is Changing Farming Methods
HEALTH-SOUTH AFRICA: Prescription Drug Abuse on the Increase
More >>