IPS Inter Press Service - Independent News
   Inter Press Service News Agency
Friday, September 03, 2010   11:05 GMT    
  Subscribe !
 

Enter your email and receive TerraViva Africa, our free weekly journal

   Homepage
   World Service
   East Africa
   Southern Africa
   West Africa
   Central Africa
 
   Environment
   Health-HIV/AIDS
   Education
   Rights
   Politics
   Economics
   and Finance
   Development
   Energy
   Population
   Culture
 
   Radio Service
 
   Français
 
   About IPS
 
   ENGLISH
   ESPAÑOL
   FRANÇAIS
   ARABIC
   ČESKY
   DEUTSCH
   ITALIANO
   JAPANESE
   MAGYAR
   NEDERLANDS
   POLSKI
   PORTUGUÊS
   SUOMI
   SVENSKA
   SWAHILI
Readers Opinions
UAE : Mwongozo wa elimu wazinduliwa
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Agosti 18 (WAM) - Chini ya usimamizi wa Sheikha Fatima bint Mubarak, Rais wa shirika la Family Development Foundation na Mwenyekiti wa umoja wa wanawake ujulikanao kama General Women's Union, Mwongozo wa Elimu wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) umezinduliwa.

UAE : Mohammed bin Rashid asamehe wafungwa 557
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
DUBAI, Agosti 11 (WAM) - Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, katika cheo chake kama Mtawala wa Dubai, ametoa amri ya kusamehewa kwa wafungwa 557 wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wameshatumikia nyakati tofauti katika vifungo vyao.

MASHARIKI YA KATI : Mchakato wa amani hauwezi kuanza tangu mwanzo, linasema gazeti la UAE
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
DUBAI, Julai 31 (WAM) - Israel isitarajie Wapalestina kuachana na makubaliano ya zamani, gazeti la Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) limesema katika maoni yake leo hii.

UAE-AFRIKA KUSINI : Kuendeleza mahusiano baina ya nchi mbili kwajadiliwa
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
PRETORIA, Julai 24 (WAM) - Balozi wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Afrika Kusini Ismail Obaid Al Ali jana alikutaba na Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa Afrika Kusini Bi. Edna Molewa mjini Pretoria.

INDIA-PAKISTAN : Wakati wa kuelekea kwenye mazungumzo, linasema gazeti la UAE
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatyo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Julai 15 (WAM) - Muda umefika ambapo India na Pakistan wanapaswa kuelekea kwenye mazungumzo. Mawaziri kutoka nchi zote mbili watajaribu kufufua mchakato wa majadiliano ambapo kwa kupitia kwayo hali ya amani inaweza kufikiwa, lilipendekeza gazeti la kila siku la Muungano wa Umoja wa Kiarabu (UAE).

UAE : Vikwazo vya uwekezaji nchini Misri vyaondolewa
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatyo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
CAIRO, Julai 9 (WAM) - Balozi wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Misri na Mwakilishi wa Umoja wa Kiarabu Mohammed Nakheera Al-Dhaheri walifanya mikutano na viongozi wa Misri kama sehemu ya jitihada za kuondokana na vikwazo vya uwekezaji katika kilimo, mawasiliano ya simu na nishati nchini Misri.

UAE : Mawaziri wa mambo ya nje wakutana Abu Dhabi
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Juni 24 (WAM) - Mawaziri wa mambo ya nje walikutana jana jioni katika Hoteli ya Emirates Palace mjini Abu Dhabi, katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE), katika mkutano ambao uliongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa UAE Sheikh Abdullah bin Zayed Al Nahyan, mbele ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Kiarabu Amr Musa.

UAE : FNC, Bunge la taifa la China wataka kuwa na mahusiano makubwa
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
DUBAI, Juni 15 (WAM) - Naibu wa Kwanza wa Spika wa Baraza la Shirikisho la Taifa (FNC) la Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Ahmed Shabeeb Al-Dhaheri na Kansela wa Siasa katika Ubalozi wa China Li Lingbing mjini Abu Dhabi, wamejadili njia za kukuza mahusiano ya Bunge, uwekezaji na utalii baina ya UAE na China.

 

 

Next >>

 
English Version
Versión en español
Version em português
Japanese Version
 WAM News in English
News in RSS
MIDDLE EAST: Obama must stand up to Israel and take process forward, says UAE paper
PAKISTAN: UAE RCA team begins vaccination drive in Nowshera city
UAE: Economy remains solid, to achieve more growth
PAKISTAN: UAE Armed Forces continues humanitarian operation
UAE: RCA delivers relief aid to Pakistan Red Crescent
More >>
 IPS News in Swahili
News in RSS
KUSINI MWA AFRIKA: Marekebisho ya Umilikaji wa Ardhi Yatengewa Fedha Kidogo, Yashindikana
AFRIKA: Uhaba wa Ujuzi Katika Afya ya Uzazi
SUDAN KUSINI: Watoto Wana Njaa Kurejea katika Maisha ya Uraiani
MALAWI: Wafuasi wa Chama Tawala Wafanya Kampeni Chafu Dhidi ya Makamu wa Rais
DRC: Wakulima wa DRC Wakaribisha Msaada
More >>
 Latest News from Africa
News in RSS
Revolution in African Agriculture Gathering Momentum
Uganda Could Become Regional Rice Exporter say Researchers
Further Victims Identified in DRC Mass Rapes Case
Funding Begins Flowing for African Agriculture
BOTSWANA: HIV-positive Mothers Not Convinced to Exclusively Breastfeed
SOUTH AFRICA: "Xenophobia Simmering Just Below Boiling Point"
Fisheries Can Play Key Role in Africa
SOUTHERN AFRICA: Growing Seed Security
RWANDA: Genocide Ideology and Sectarianism Laws Silencing Critics?
AFRICA: ‘Welcome to My Taxi – Let's Do Business with My Cell Phone'
More >>