IPS Inter Press Service - Independent News
   Inter Press Service News Agency
Friday, May 09, 2008   19:42 GMT    
  Subscribe !
 

Enter your email and receive TerraViva Africa, our free weekly journal

   Homepage
   World Service
   East Africa
   Southern Africa
   West Africa
   Central Africa
 
   Environment
   Health-HIV/AIDS
   Education
   Rights
   Politics
   Economics
   and Finance
   Development
   Energy
   Population
   Culture
 
   Radio Service
 
   Français
 
   About IPS
   ENGLISH
   ESPAÑOL
   FRANÇAIS
   SVENSKA
   ITALIANO
   DEUTSCH
   SWAHILI
   NEDERLANDS
   ARABIC
   TÜRKÇE
   SUOMI
   PORTUGUÊS
   JAPANESE
Readers Opinions
VITA DHIDI YA UGAIDI-MAREKANI : Guantánamo lazima ifungwe, linasema gazeti la kila siku la UAE
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Mei 3 (WAM) - Gazeti linaloongoza la kila isku katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) limetoa wito wa kufungwa kwa gereza la kikatili la Guantánamo, na kuliita "eneo ambapo sheria haizingatiwi".

UAE : Ziara ya waziri wa mambo ya kigeni wa India
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Aprili 29 (WAM) - Mkurugenzi wa Masuala ya Asia na Afrika katika Wizara ya Mambo ya Kigeni ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) Ahmed Abdullah Al Musali na balozi wa India katika UAE Talmiz Ahmad walijadili leo hii juu ya maandalizi ya ziara ya Waziri wa Mambo ya Kigeni wa India Pranab Mukherjee katika UAE.

BIASHARA-UAE : India ina nia ya kuhakikisha inasambaza mchele wa kutosha
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Aprili 25 (WAM) - India ina nia ya kuhakikisha inasambaza mchele wa kutosha katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE), na hivi karibuni itaanza kujadiliana juu ya hatua za kufikia lengo hilo, kulingana na Waziri wa Biashara na Viwanda wa India Kamal Nath.

MASHARIKI YA KATI : Hatua ya Carter yatia moyo, linasema gazeti la UAE
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Aprili 21 (WAM) - Kwa baadhi, mkutano wa karibuni wa Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter na viongozi wa Hamas lilikuwa kosa kubwa mno. Hata hivyo, kwa wachache, unawakilisha hatua za kuelekea kwenye amani na unapaswa kuchukuliwa kwa uzito unaostahili, ilisema tahariri ya leo katika gazeti la kila siku la Muungano wa Falme za Kiarabu.

UAE : Gazeti Jipya la Kiingereza lapewa jina la 'The National'
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
ABU DHABI, Aprili 14 (WAM) - Kampuni ya Vyombo vya Habari ya Abu Dhabi katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) imethibiitsha kuwa gazeti lake jipya la Kiingereza litapewa jina la 'The National'.

UAE : Makamu wa rais ahitimisha ziara ya kihistoria nchini China
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
BEIJING, Aprili 4 (WAM) - Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, Makamu wa Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE), Waziri Mkuu na Mtawala wa Dubai alirejea nyumbani baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku nne kikazi nchini China.

UAE : Makamu wa rais akutana na rais wa China
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
BEIJING, Machi 31 (WAM) - Makamu wa rais na waziri mkuu wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) na mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, walikutana hapa Jumatatu mchana na Rais wa China Hu Jintao, ambaye alimkaribisha kwa mbwembwe zote kiongozi wa UAE na kuelezea matarajio yake kuwa ziara yake nchini China ingeweza kuzidisha zaidi urafiki na ushirikiano kati ya UAE na China.

UAE-SYRIA : Mahusiano mazuri na ya muda mrefu
Kwa Wahariri: Taarifa hii imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)
DAMASCUS, Machi 29 (WAM) - Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) na Syria wana mahusiano ya muda mrefu na mazuri ambayo yanapaswa kuimarishwa zaidi kwa maslahi ya watu wa nchi hizo mbili, kulingana na Shirika la Habari za Kiarabu la Syria (SANA).

 

 

Next >>

 
English Version
Versión en español
Version em português
Japanese Version
 WAM News in English
News in RSS
CHILD RIGHTS-PAKISTAN: UAE hailed for contribution to child protection fund
ENVIRONMENT-UAE: Minister sets up awareness wing
LEBANON: UAE citizens evacuated from Beirut safely
LEBANON: Leaders prove incapable of reaching political solution, says UAE paper
UAE: Red Crescent inaugurates residential building for poor Kosovans
More >>
 IPS News in Swahili
News in RSS
NISAHATI: Benki ya Dunia, IFC Wataka Kuwekeza Nje ya Gridi katika Afrika
HAKI: Nchini Afrika Kusini, Wakimbizi wa Zimbabwe Wanakuta Utakaso na Makosa
MASWALI NA MAJIBU: "Ni Lazima Tufikiri Kama Waafrika Kusini Tulioshinda Siku"
MSUMBIJI: Serikali Kukabiliana na Mafuriko – Lakini Vita Dhidi ya Magonjwa Bado Inafuata
DR KONGO: Kufunguliwa Mashitaka kwa Kiongozi kwa Waasi, Hatua ya Uwajibikaji
More >>
 Latest News from Africa
News in RSS
ENERGY-AFRICA: From Kerosene to the LED, O-HUB and O-BOX
ANGOLA: Irish Rock Star Geldof Riles Tempers
DEVELOPMENT-SOUTHERN AFRICA: Small Can Be Beautiful
ENERGY: World Bank, IFC Seek Investors in Off-Grid Africa
DEVELOPMENT-ZAMBIA: Counting the Cost of Recent Floods
RIGHTS: In South Africa, Zimbabwean Refugees Find Sanctuary and Contempt
Q&A: "We Mustn't Think as South Africans That We Have Won the Day"
MOZAMBIQUE: Officials Master Floods - But Battle To Contain Diseases That Follow
DR CONGO: With Rebel Leader's Indictment, a Tentative Step to Accountability
Q&A: Labour "Has to Weigh Up the Trade-offs" in Acting to Protect Workers
More >>