IPS Inter Press Service - Independent News
   Inter Press Service News Agency
Thursday, May 23, 2013   02:07 GMT    
   Homepage
   World Service
   East Africa
   Southern Africa
   West Africa
   Central Africa
 
   Environment
   Health-HIV/AIDS
   Education
   Rights
   Politics
   Economics
   and Finance
   Development
   Energy
   Population
   Culture
 
   Radio Service
 
   Français
 
   About IPS
 
   ENGLISH
   ESPAÑOL
   FRANÇAIS
   ARABIC
   ČESKY
   DEUTSCH
   ITALIANO
   JAPANESE
   MAGYAR
   NEDERLANDS
   POLSKI
   PORTUGUÊS
   SRPSKI
   SUOMI
   SVENSKA
   SWAHILI
   TÜRKÇE
Readers Opinions

Chini ya Ziwa Nyasa Kuna ‘Udongo wa Kipekee’
Thembi Mutch
ARUSHA, Tanzania , Mei 20 (IPS) - Jamii za Watanzania wanaopakana na Ziwa Nyasa hawana ufahamu mgogoro kati ya nchi yao na Malawi unahusu nini, wala ni nini cha umuhimu katika mgogoro huo, wakati jitihada za upatanishi kati ya Malawi na Tanzania zinategemewa kuanza hivi karibuni.


Watu Milioni Mbili Wameweka Matumaini yao Katika Usuluhishi wa Mgogoro wa Ziwa Nyasa
Mabvuto Banda
LILONGWE, Mei 20 (IPS) - Zaidi ya familia milioni mbili ambazo zinategemea Ziwa Nyasa kwa ajii ya kipato chao zinasubiri kwa hamu usuluhishi wa mgogoro wa ziwa hilo kati ya Malawi na Tanzania ili kukomesha mgogoro wa umiliki wa ziwa hilo.


Mgogoro wa Ziwa Nyasa Wazua Hofu kwa Wavuvi
Mabvuto Banda
KARONGA, Malawi, May 6 (IPS) - Tangu akiwa na umri wa miaka tisa, Martin Mhango kutoka kijiji cha Karonga kaskazini mwa Malawi hajawahi kufahamu njia nyingine ya kumwingizia kipato zaidi ya uvuvi. Na katika kipindi cha miaka 33 iliyopita amekuwa akivua samaki kwa uhuru katika Ziwa Nyasa – hadi Oktoba mwaka jana alipokamatwa na kuweka kizuizini na kupigwa na vikosi vya usalama vya Tanzania.

TANZANIA
Klabu za Vijana, Ufumbuzi wa Changamoto za Watu, Afya na Mazingira
Na Marko Gideon
PANGANI, May 6 (IPS) - Sensa ya Idadi ya Watu na Makazi ya mwaka 2002 ilionyesha kwamba idadi ya watu Tanzania iliongezeka kutoka milioni 23.1 mnamo 1988 hadi milioni 34.4 mnamo 2002, ikiwa ni wastani wa kiwango cha ukuaji cha asilimia 2.9 kwa mwaka. Sehemu ya watu wenye umri chini ya miaka 15 ilikuwa karibu asilimia 44, kwa mujibu wa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu 2006.


Timbuktu Yarejesha Hazina Zake
A. D. McKenzie
PARIS,, May 2 (IPS) - Pamoja na hali tata na vita vinavyoendelea, Mali itafanya kazi ya kujenga na kulinda urithi wake wa kitamaduni, anasema waziri wa utamaduni wa taifa hilo la Afrika Magharibi Bruno Maïga. Maïga alikuwa mjini Paris akihudhuria "siku ya mshikamano na Mali" iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) katika makao yake makuu hapa. Tukio hilo lilikusanya pamoja wataalam wa masuala ya utamaduni, wakuu wa serikali, wanasanaa na wasomi kutathmini uharibifu uliofanyika katika maeneo ya urithi wa kitamaduni ya Mali na maandiko ya kizamani, na kuandaa mpango wa kuchukua hatua.

Maswali na Majibu
Redio yawapatia Sauti Vijana wa Adeika Kusini - Gives a Voices to South African Youth
Joan Erakit
UMOJA WA MATAIFA, May 2, (IPS) - Lesedi Mogoatlhe amejitolea maisha yake katika kuwawezesha vijana wa Afrika kwa kuwafanya sauti zao zisikike kupitia uandishi wa habari wa redio.Katika wakati wa changamoto za kiuchumi, kisiada na kitamaduni, vijana wa Afrika Kusini wanakabiliwa na masuala magumu mno. Wakiwa vijana wadogo wanahofia juu ya mustakabali wa marafiki zao, familia, elimu na maisha ya jamii, lakini wakiwa kama Waafrika Kusini pia wanakabiliwa na ukweli wa umaskini mkubwa, magonjwa na ghasia.


Uwazi Unaweza Kuimarisha Sera za Kukabiliana na Ukame
Isolda Agazzi
GENEVA, Machi 15 (IPS) - Wanasayansi waliokusanyika mjini Geneva kwa ajili ya Mkutano wa Kwanza wa Watu Maarufu kuhusu Sera za Ukame (HMNDP) katika kipindi cha miaka zaidi ya 30 iliyopita walibainisha ukusanyaji wa takwimu na usambazaji wa taarifa kama moja ya changamoto kubwa za kuzuia ukame kikamilifu. Pia walisema kuwa na malengo sahihi na dhamira ya kisiasa yenye nguvu itakuwa muhimu katika kujenga sera katika ngazi ya kitaifa. Waliyasema haya katika mkutano ambao uliandaliwa kwa pamoja na Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuzuia Kuenea kwa Jangwa (UNCC), Shirika la Chakula Duniani (FAO) na Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), kati ya Machi 11-15 kujaribu kuanzisha mjadala wa kimataifa juu ya sera za kitaifa.

ANGOLA
Paneli za Jua Zabadili Maji Machafu Kuwa Masafi
Louise Redvers
LUANDA, Machi 8 2012 (IPS) - Kontena lililopigwa rangi nzuri huku likiwa na paneli za jua katika paa lake na vifaa vya kuchujia maji linaonekana katika kijiji hiki cha vumbi cha Bom Jesus, kama kilomita 50 mashariki mwa mji mkuu wa Angola, Luanda.

TANZANIA
Mabadiliko ya Tabia Nchi Yanahitaji Kubadili Mazao ya Kilimo
Marko Gideon
PANGANI, Machi 7 (IPS) - Kuendelea kwa ukame unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi katika vijiji vya Mwembeni na Sange wilayani Pangani mkoani Tanga kumesababisha kuzidi kupungua kwa upatikanaji wa chakula na hivyo kutishia maisha ya wakazi wa vijiji hivyo. Lakini mradi wa Pwani unaofadhiliwa na shirika la USAID umeamua kuingilia kati kusaidia kunusuru maisha ya wakazi hao na vipato vyao.


Mafanikio ya Afrika Kwenye Usalama wa Chakula
Miriam Gathigah
NAIROBI, Jan 20 2012 (IPS) - Idadi kubwa ya nchi za Afrika zinapata mafanikio makubwa katika kutokomeza njaa na umaskini. Ghana, Liberia, Malawi, Rwanda, Sierra Leone na Afrika Kusini ni miongoni mwa nchi ambazo zimepata mafanikio makubwa katika kufikia malengo haya.

 

 

Next >>

 








 Latest News from Africa
News in RSS
Growing Peas and Greens to Maximise Water Usage
Kariba Dispossessed Still Waiting for Promised Better Life
SA’s Africa Day Awareness Lagging Behind
Can South Africa Help Nigeria to Industrialise?
Zimbabwe’s Ruling Party Militias Spread Fear of Voting
It Takes a Village to Educate a Girl
Equality for women in Africa still a work in progress
How to Save a Fish … a Lake and a People
OP-ED: Put a Spotlight on African Women’s Reproductive Rights
Civil Society Under Attack Around the World
More >>
  Dernières Nouvelles
News in RSS
KENYA: Des femmes pour briser le plafond de verre dans le gouvernement
RD CONGO: La réintégration des déserteurs du M23 dans l’armée divise l’opinion
ETATS-UNIS: Des réformes pourraient réduire énormément l’immigration africaine
SOMALIE: Accorder aux extrémistes une seconde chance
NIGER: La scolarisation des filles confrontée aux croyances socioculturelles
A lire également >>