IPS Inter Press Service - Independent News
   Inter Press Service News Agency
Saturday, March 13, 2010   00:25 GMT    
   Homepage
   World Service
   East Africa
   Southern Africa
   West Africa
   Central Africa
 
   Environment
   Health-HIV/AIDS
   Education
   Rights
   Politics
   Economics
   and Finance
   Development
   Energy
   Population
   Culture
 
   Radio Service
 
   Français
 
   About IPS
   ENGLISH
   ESPAÑOL
   FRANÇAIS
   SVENSKA
   ITALIANO
   DEUTSCH
   SWAHILI
   NEDERLANDS
   ARABIC
   SUOMI
   PORTUGUÊS
   JAPANESE
Readers Opinions
HAKI-SWAZILAND : Hatimaye Haki ya Kumiliki Ardhi kwa Wanawake
Na Mantoe Phakathi
MBABANE, Machi 5 (IPS) - kumu ya hivi karibuni ya mahakama hatimaye imewapatia wanawake wa Swaziland haki ya kumiliki na kusimamia ardhi kwa majina yao.

UGANDA : Shinikizo Laongezeka Kufanya Mikataba ya Mafuta Kuwa Wazi kwa Umma
Na Joshua Kyalimpa
KAMPALA, Machi 4 (IPS) - Wabunge nchini Uganda wanashinikiza serikali kuweka wazi mikataba ya uzalishaji wa mafuta iliyosaini na makampuni mbalimbali ya mafuta ya kimataifa.

DR-KONGO : EU Tatakiwa Kupiga Marufuku 'Madini kutoka Kwenye Vita'
Ida Karlsson
STOCKHOLM, Machi 4 (IPS) - Baada ya hatua ya seneti ya Marekani kutaka kuzuiliwa kwa fedha za madini zinachochochea vita vya kikatili vya wenyewe kwa wenyewe katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), shirika la kutetea haki za binadamu la Global Witness (GW) linaitaka Ulaya kufuata nyayo.

ZIMBABWE : Katiba Yaangaliwa Tena
Vusumuzi Sifile
HARARE, Machi 3 (IPS) - Mchezo mpya, kuhusu Katiba inayosubiriwa umevutia wengi miongoni mwa wanasiasa na mashirika ya kiraia ambao wanataka kutoa maoni yao juu ya rasimu mpya ya katiba inayokuja.

ZIMBABWE : Sekta Isiyo Rasmi Yavutia Wahitimu wa Chuo Kikuu
Ignatius Banda
BULAWAYO, Machi 1 (IPS) - Kutoka kusafiri na mabasi ya kizamani ambayo yalifanya safari ndefu za kuvuka mipaka katika ukiritimba unaochanganya mpakani, kuvumilia unyanyasaji wa kingono unaofanywa na wafanyakazi wa basi na maafisa wa forodha na kupoteza bidhaa zenye thamani ya maelfu ya dola, Irene Moyo mwenye umri wa miaka 28 ameshashuhudia kila kitu.

Tanzania : Muswada wa Fedha za Uchaguzi Utawawezesha Wanawake
Na Marko Gideon
DAR ES SALAAM, FEB 28 (IPS) - Hivi karibuni, suala la Muswada wa Kudhibiti Fedha za Uchaguzi lilichukua vichwa vya habari magazeti, redio na televisheni nchini.

HAKI : Samaki Watafanya Nini Katika Sahara Magharibi
David Cronin
BRUSSELS, Feb 27 (IPS) - Ushauri wa kisheria unaosema kuwa vyombo vya Ulaya havina haki ya kuvua samaki katika pwani ya Sahara Magharibi – jimbo linalokaliwa na Morocco – umezua msuguano kati ya taasisi kuu za kisiasa nchini Brussels.

RUSSIA : Yapitwa na China katika Afrika
Kester Kenn Klomegah
MOSCOW, Feb 26 (IPS) - Jitihada za Russia katika kupata mashamba ya mafuta na gesi katika bara lenye utajiri mkubwa wa rasilimali la Afrika zimekuwa na mafanikio madogo mno katika muongo uliopita kutokana na ukosefu wa mkakati madhubuti wa kitaifa, wataalam wanasema.

SIASA-Moger : Hatua za Awali Kuelekea kwenye Urejeshaji Demokrasia?
Ousseini Issa*
NIAMEY, Feb 26 (IPS) - Kama ilivyoahidiwa wakati wa mpito kuelekea kwenye utawala wa kidemokrasia umeshaanza, wanajeshi waliomwangusha rais wa Niger Mamadou Tandja Februari 18 wameteua jina la waziri wa habari wa zamani, Mahamadou Danda, kuwa waziri mkuu mpya wakati mamlaka ya bunge na utendaji yakibakia chini ya askari waliopindua nchi hiyo.

TANZANIA : Polisi Kukamata Waandishi Kutadumaza Utawala Bora
Na Marko Gideon
DAR ES SALAAM, FEB 25 (IPS) - Hivi karibuni kumekuwepo na matukio kadhaa ya polisi kukamata waandishi wa habari na kuwaweka kizuizini kwa masaa kadhaa kwa ajili ya kuwahoji na kuwaachilia huru. Matukio ni mengi, lakini makala hii itajikita katika yale macheche ambayo yalikuwepo kwenye vichwa vya habari vya magazeti nchini Tanzania.

 

 

Next >>

 








 Latest News from Africa
News in RSS
KENYA: Proposed Constitutional Amendment Sets Back Women’s Rights
SOUTH AFRICA: Gender Loses Out in Basic Education Crisis
SOMALIA: U.S. Should Accept Islamist Authority, Report Says
RIGHTS: Africa's Success Stories in Gender Empowerment
KENYA: New Bill to Improve State Witness Protection, If Passed
EDUCATION-TANZANIA: Pregnant Teens Forced Out of School
TANZANIA: Weather Changes Turn Farming into Gamble with Nature
ENVIRONMENT-UGANDA: Landslides - Experts Warn Worst is Yet to Come
NAMIBIA: Female Hip-Hop Artists Challenge Stereotypes
MALAWI: Patrilineal Inheritance Prevents Women’s Access to Land
More >>
  Dernières Nouvelles
News in RSS
MALAWI: Les changements climatiques changent les méthodes agricoles
RWANDA : Payer les frais scolaires en banque: moins risqué mais plus compliqué
RD CONGO : Les enfants de rue rwandais affluent à Goma
SANTE-AFRIQUE DU SUD: Des enfants naîtront sans le VIH dans cinq ans
ENERGIE-SENEGAL : Avantages et inconvénients des lampes à basse consommation
A lire également >>