Inter Press Service News Agency
Saturday, February 04, 2012 11:14 GMT
Homepage
World Service
East Africa
Southern Africa
West Africa
Central Africa
Environment
Health-HIV/AIDS
Education
Rights
Politics
Economics
and Finance
Development
Energy
Population
Culture
Radio Service
Français
About IPS
ENGLISH
ESPAÑOL
FRANÇAIS
ARABIC
ČESKY
DEUTSCH
ITALIANO
JAPANESE
MAGYAR
NEDERLANDS
POLSKI
PORTUGUÊS
SUOMI
SVENSKA
SWAHILI
TÜRKÇE
Kuhamasisha Kilimo cha Embe Kupunguza Madhara ya Mabadiliko ya Tabia Nchi
Marko Gideon
DAR ES SALAAM, Jan 26, 2012 (IPS) - Mabadiliko ya tabia nchi yapo kila mahali, ni dhahiri na madhara yake yanajidhihirisha kwa uwazi zaidi kuliko siku za nyuma. Yanaathiri watu kutoka kila sekta na nyanja zote za maisha. Watu wanaoathirika zaidi ni wale wanaoishi katika nchi zinazoendelea hususan katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ambako zaidi ya asilimia 80 ya wakazi wake wanategemea kilimo cha mvua.
SUDAN KUSINI
Wanawake Walenga Kulinda Haki Zao Katika Taifa Changa
Na Amanda Wilson
WASHINGTON, Jan 26, 2012 (IPS) - Wakati Sudan Kusini ikiandaa mustakabali wake wa kiuchumi wa baadaye katika Mkutano wa Kimataifa wa Sudan Kusini (IEC) wiki hii mjini Washington, wanawake kutoka taifa hilo jipya wametoa wito kwa wafadhili kuwekeza katika miradi ambayo inahakikisha kuwa wanawake wanafaidika sawa na mipango ya maendeleo.
‘Fanyieni Kazi Mazungumzo ya Busan’
Uchambuzi na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Watetezi wa haki za wanawake hawajajiandaa kusubiri kutulia kwa vumbi la Jukwaa la Nne la Ufanisi wa Misaada lililomalizika katika mji wa bandari wa Korea Kusini Des. 1 huku wakitaka kuwepo kwa usawa wa kijinsia na uwezeshwaji.
Clinton Ahimiza Ajenda ya Jinsia Huko Busan
Na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Wanawake wanavuja jasho mashambani katika maisha yao yote wakizalisha chakula na kuimarisha uchumi ambao unategemea zaidi kilimo katika bara la Afrika, lakini wakati baba zao, waume au watoto wao wakubwa wa kiume wanapofariki, hawakaribishwi tena katika ardhi ambayo wamekuwa wakilima kwa miaka mingi.
‘Hakuna Lolote Kutoka Busan kwa Wanawake na Watoto wa Afrika’
Na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Pamoja na kuwepo kwa mafanikio katika kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga, mamilioni ya wanawake na watoto barani Afrika wanahitaji huduma bora za afya, chakula na huduma za usafi wa mazingira.
‘Hakuna Lolote Kutoka Busan kwa Wanawake na Watoto wa Afrika’
Na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Pamoja na kuwepo kwa mafanikio katika kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga, mamilioni ya wanawake na watoto barani Afrika wanahitaji huduma bora za afya, chakula na huduma za usafi wa mazingira.
Hakuna Anayehesabu Msaada wa Wanawake
Na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Bajeti inayozingatia jinsia inakuwa muhimu wakati inapoonekana kuwa haijatolewa lakini inafanya kazi nzuri ya kutoa huduma kwa jamii, wanasema wajumbe wa mkutano wa kimataifa juu ya ufanisi wa misaada katika mji huo wa Korea Kusini.
LIBERIA
KUCHAGULIWA TENA KWA SIRLEAF NI USHINDI WA WANAWAKE
Na Stephen Binda
MONROVIA, Jan 26, 2012 (IPS) - Ushindi wa Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf kwa awamu ya pili unaelezewa kama ushindi wa wanawake pamoja na utata uliosababisha upinzani kugoma kushiriki katika marudio ya uchaguzi.
Mahakama Mbili za Wanawake Nchini Kenya Zaanza Kufanya Kazi
Na Protus Onyango
NAIROBI, Jan 26, 2012 (IPS) - Naibu Jaji Mkuu wa Mahakama Kuu ya Kenya Nancy Baraza, ambaye alitengeneza historia kama mwanamke wa kwanza aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo, ameshaanza kufanyia marekebisho mfumo wa mahakama nchini humo.
Wanawake Wengi Wazee Hawana Pensheni
Na Paul Carlucci na Jamila Akweley Okertchiri
ACCRA, Jan 25, 2012 (IPS) - Kando kando mwa Old Fadama, makazi duni yasiyokuwa halali maarufu mjini Accra, Mariana Sayitou mwenye umri wa miaka 67 ameketi chini ya kivuli na anaendelea kujitafutia kipato kwa kuuza njugu mawe na kiasi kidogo cha maharage kwa wapita njia.
Next >>
RSS feed in Swahili
Latest News from Africa
Chinese Feed Illegal Ivory Trade
DEVELOPMENT-NIGER: Three Million Children Threatened by Hunger
Social Media Saved Africa's Oldest Community Station
Malawi's Consumers Have a Right to Fuel and Forex Black Market
WEST AFRICA: Water Shortage Threatens Wildlife
Kenyan Chief Tweets His Way to Reducing Crime
POLITICS-SENEGAL: Violence After Validation of Wade Candidacy
Radio Static for Ghana's Community Stations
UGANDA: Using Community Radio to Heal After Kony's War
SIERRA LEONE: Government Online Mining Database to Increase Transparency
More >>
Dernières Nouvelles
POLITIQUE-SENEGAL: Des violences après la validation de la candidature de Wade
MALAWI: Les vendeurs de rue perdent les clients après avoir dénudé des femmes
AFRIQUE DE L’OUEST: Une grave pénurie d’eau affecte la faune dans le Parc 'W'
KENYA: Depuis quatre ans, des personnes déplacées demeurent dans des camps
ILE MAURICE: Déclin des coopératives de consommateurs
A lire également >>
Contact Us
|
About Us
|
Subscription
|
Help us Improve
|
News in RSS
Copyright © 2012 IPS-Inter Press Service. All rights reserved.