Inter Press Service News Agency
Thursday, August 28, 2008 19:26 GMT
Subscribe !
Enter your email and receive TerraViva Africa, our free weekly journal
Homepage
World Service
East Africa
Southern Africa
West Africa
Central Africa
Environment
Health-HIV/AIDS
Education
Rights
Politics
Economics
and Finance
Development
Energy
Population
Culture
Radio Service
Français
About IPS
ENGLISH
ESPAÑOL
FRANÇAIS
SVENSKA
ITALIANO
DEUTSCH
SWAHILI
NEDERLANDS
ARABIC
TÜRKÇE
SUOMI
PORTUGUÊS
JAPANESE
MASHARIKI YA KATI : Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe Vinavyoibukia
Ucmabuzi na Adam Morrow na Khaled Moussa al-Omrani
CAIRO, Agosti 22 (IPS) - Wiki za karibuni zimeshuhudia mapigano mabaya kati ya vikundi vya Kipalestina vya Fatah na Hamas tangu kikundi cha Fatah kilipoteka Ukanda wa Gaza katika majira ya joto yaliyopita. Hamas inashutumu "kuwepo kwa kikundi cha uhaini" katika Fatah kinachochochea vita –ambacho kilifanya kazi na vyombo vya kijasusi vya Marekani katika harakati zilizoshindwa za kuangusha kikundi hicho chenye nguvu mwaka jana.
SIASA-IVORY cOAST : Sheria ya Ubaguzi wa Wageni Yapata Mapokezi ya Kati
Na Fulgence Zamblé
ABIDJAN, Agosti 21 (IPS) - Mashirika ya Haki za Binadamu ya Kimataifa yana wasiwasi kuhusu sheria mpya dhidi ya ubaguzi wa wageni, ubaguzi wa rangi na ukabila iliyopitishwa na bunge la Ivory Coast. Baadhi ya mashirika yana wasiwasi itasababisha ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza.
ZAMBIA : Mwanawasa Aacha Hiba Mchanganyiko
Nixon Chisonga
LUSAKA, Agosti 20 (IPS) - Zaidi ya miezi miwili baada ya kuugua kiharusi katika mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Misri, Rais wa Zambia Levy Mwanawasa alifariki dunia Jumatatu katika hospitali nchini Ufaransa.
KENYA : Mkusanyiko wa Wimbi la Matarajio katika Makazi Duni ya Nairobi
Najum Mushtaq
NAIROBI, Agosti 20 (IPS) - Kwa mara ya kwanza katika miaka yake 60 ya kuwepo kwake, kuna wimbi la matumaini kwa wakazi milioni moja wa Kibera, moja ya makazi duni yenye watu wengi zaidi duniani. Baada ya kutumia maisha yake yote katika mabenchi ya upinzani – au gerezani – kama mtetezi wa maskini, mbunge wa jimbo hili maskini mno kwa sasa ni waziri mkuu wa Kenya.
AFRIKA : Kutoa Nafasi kwa Mahakama ya Wahalifu ya Kimataifa?
Miriam Mannak
CAPE TOWN, Agosti 20 (IPS) - Mahakama ya Wahalifu ya Kimataifa (ICC) inaitumia Afrika kama sehemu ya majaribio, na inachagua mno linapokuja suala la kukamata, kufungulia mashitaka na kuhukumu wahusika wa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu. Haya ni miongoni mwa maoni yaliyotolewa hivi karibuni katika semina mjini Cape Town iliyoandaliwa na Kituo cha Utatuzi wa Migogoro (CCR).
MAENDELEO-ZAMBIA : Kugawana Shaba
Danstan Kaunda
LUSAKA, Agosti 19 (IPS) - Kampuni kubwa ya madini ya Australia ya "Equinox Minerals" inaendeleza mgodi wa madini wa Lumwana Copper Mine (LCM) kuchukua fursa ya kuongezeka kwa bei ya shaba katika soko la kimataifa. Utakapofunguliwa mwezi huu, mgodi huo utakuwa mkubwa kuliko yote barani Afrika, lakini wakosoaji wanasema sehemu ya faida ya madini ya Zambia ni ndogo zaidi inavyopaswa kuwa.
SIASA-KUSINI MWA AFRIKA : Itifaki ya Kihistoria Yasainiwa
Na Zahira Kharsany
JOHANNESBURG, Agosti 18 (IPS) - Wanaharakati wa jinsia walipumua wakati itifaki ya muda mrefu ya jinsia ilipotiwa saini katika mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wiki hii. Wanawake wanabeba mzigo mkubwa wa haki ya jamii na matatizo ya bara la Afrika, kuanzia upatikanaji wa maji safi, huduma za afya, upatikanaji wa fursa za kiuchumi au ulinzi mbele ya sheria.
MAZINGIRA-CAMEROON : Oparesheni Sahel ya Kijani Yaanza
Tamfu Hanson
GAROUA, Agosti 16 (IPS) - "Nimekuja kupanda miti – hii ndiyo sababu nimeacha jaketi na tai yangu mjini Yaoundé" alitangaza Waziri wa Misitu na Wanyama Pori wa Cameroon, Elvis Ngolle Ngolle, alipozindua upandaji miti katika kijiji kidogo karibu na mji wa Kousseri, kaskazini mwa nchi. Katika dakika nne, waziri na wafanyakazi wake walipanda miti mia moja kuzuia kuenea kwa jangwa.
SIASA-ZIMBABWE : Vyama vya Kiraia Vyataka Mazungumzo Zaidi
Stanley Kwenda
JOHANNESBURG, Agosti 16 (IPS) - Mabango mengi yanayompinga rais wa Zimbabwe Robert Mugabe yalisalimu wapita njia katika bustani nzuri za Kituo cha Utamaduni cha Sandton jijini Johannesburg, ambako mgogoro wa kisiasa nchini humo ni ajenda ya juu katika mkutano wa kilele wa jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
SIERRA LEONE : Siasa za Kibaguzi Zatishia Amani
Mohammed Fofana
FREETOWN, Agosti 15 (IPS) - Ghasia zilizozuka Agosti 13 mjini Freetown, mji mkuu wa Sierra Leone, zilionyesha msuguano wa kisiasa ambao umekuwa ukijengeka kati ya vyama viwili vikuu vya kisiasa, chama tawala cha All People's Congress (APC) na chama kikuu cha upinzani cha Sierra Leone's People's Party (SLPP).
Next >>
RSS feed in Swahili
Latest News from Africa
RIGHTS-SIERRA LEONE: Activists Will Accept Only Full Abolition
Q&A: "They Mobilised Violence For Their Own Reasons"
RIGHTS-SWAZILAND: Women Challenge King Mswati
SIERRA LEONE: Commission Launches First Human Rights Report
SOUTH AFRICA: Rights Work Hampered by Closure Threat
DEVELOPMENT: Africa Still Hampered by Lack of Geographical Data
SIERRA LEONE: Activists Cry Foul Over Mining Policy
TRADE-KENYA: British Imports Losing Their Appeal
ETHIOPIA: Choosing Among One's Own Amid Food Crisis
RIGHTS-ZIMBABWE: Hard Times Continue As Talks Drag On
More >>
Dernières Nouvelles
ENVIRONNEMENT : Le Japon confirme son aide aux pays africains
BURKINA FASO : Le biocarburant issu du 'jatropha' gagne du terrain
DEVELOPPEMENT-SOMALIE : Trouver de l'eau à Mogadiscio
DROITS-GUINEE : Le pardon d'accord, mais la justice d'abord
POLITIQUE-ANGOLA : Des programmes ambitieux pour la participation des femmes
A lire également >>
Contact Us
|
About Us
|
Subscription
|
Help us Improve
|
News in RSS
Copyright © 2008 IPS-Inter Press Service. All rights reserved.