Inter Press Service News Agency
Saturday, May 10, 2008 00:58 GMT
Subscribe !
Enter your email and receive TerraViva Africa, our free weekly journal
Homepage
World Service
East Africa
Southern Africa
West Africa
Central Africa
Environment
Health-HIV/AIDS
Education
Rights
Politics
Economics
and Finance
Development
Energy
Population
Culture
Radio Service
Français
About IPS
ENGLISH
ESPAÑOL
FRANÇAIS
SVENSKA
ITALIANO
DEUTSCH
SWAHILI
NEDERLANDS
ARABIC
TÜRKÇE
SUOMI
PORTUGUÊS
JAPANESE
MAENDELEO-ZAMBIA : Kuendelea na Gharama za Mafuriko ya Karibuni
Newton Sibanda
LUSAKA, Mei 5 (IPS) - Samson Mwenda, mkulima kutoka Namwala katika Jimbo la Kusini mwa Zambia, anakumbuka kwa kuugulia mafuriko makubwa wakati wa msimu wa mvua wa mwaka 2007/2008 na madhara yake mabaya kwa maisha yake.
NISAHATI : Benki ya Dunia, IFC Wataka Kuwekeza Nje ya Gridi katika Afrika
Abid Aslam
WASHINGTON, Mei 5 (IPS) - Kampeni ya kimataifa ya kusdambaza umeme kwa moja ya nne ya wananchi wa Afrika inaingia katika duru mpya wiki hii kwa kuwa na mazungumzo ya kuleta wawekezaji zaidi katika soko ambalo halifikiwi na giridi ya umeme katika bara hilo.
HAKI : Nchini Afrika Kusini, Wakimbizi wa Zimbabwe Wanakuta Utakaso na Makosa
Michael Deibert
JOHANNESBURG, Mei 4 (IPS) - Wakati jua la msimu wa vuli likizama katika jiji maarufu zaidi nchini Afrika Kusini, Kumbi ya Misheni ya Central Methodist jijini Johannesburg imejaa sura zenye huzuni kubwa, wengi wakiwa mbali na nyumbani, wakitafuta furaha katika kuta zake.
MASWALI NA MAJIBU : "Ni Lazima Tufikiri Kama Waafrika Kusini Tulioshinda Siku"
Mahojiano na Paul Verryn
JOHANNESBURG, Mei 4 (IPS) - Askofu Paul Verryn, ambaye anaongoza Misheni ya Central Methodist jijini Johannesburg, Afrika Kusini, kwa muda mrefu amekuwa katika mstari wa mbele katika harakati za kisiasa nchini humo.
MSUMBIJI : Serikali Kukabiliana na Mafuriko – Lakini Vita Dhidi ya Magonjwa Bado Inafuata
Steven Lang
GRAHAMSTOWN, Mei 2 (IPS) - Watu wengi zaidi wamefariki dunia kutokana na kipindupindu kilichotokana na mafuriko ya hivi karibuni nchini Msumbiji kuliko idadi ya wale waliokufa katika maji yanayozidi kuongezeka. Mito mingi katika kanda za kati na kaskazini mwa Msumbiji yalivunja kingo baada ya mvua kubwa zilizonyesha mwezi Desemba, Januari na Februari, na kutokana na Kimbunga cha Jokwe – ambacho kilipiga nchi hiyo mapema mwezi Machi.
DR KONGO : Kufunguliwa Mashitaka kwa Kiongozi kwa Waasi, Hatua ya Uwajibikaji
Na Michael Deibert
JOHANNESBURG, Mei 1 (IPS) - Kufunguliwa mashitaka kwa kiongozi wa wanamgambo ambao madai ya ukiukwaji wao wa haki za binadamu kunatokana na vita vilivyoiandama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hatimaye kumejulikana mwishoni mwa Aprili, karibu miaka miwili baada ya kutolewa kwa umma kibali cha kufunguliwa mashitaka dhidi ya uhalifu wa kivita.
MASWALI NA MAJIBU : Tohara "Fursa Kubwa ya Jitihada Kuelekea Kuondokana" na VVU
Mahojiano na Mark Heywood
JOHANNESBURG, Aprili 30 (IPS) - Matokeo ya majaribio nchini Afrika Kusini, Kenya na Uganda mwaka 2006 yanaonyesha kuwa tohara kwa wanaume ilipunguza maambukizi ya VVU kutoka kwa wanawake kwenda kwa wanaume kwa hadi asilimia 60. Katika misingi ya matokeo hayo, Programu ya Pamoja ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na VVU/UKIMWI na Shirika la Afya Ulimwenguni wamependekeza kuwa nchi zihamasishe wanaume kufanyiwa tohara.
KENYA : Bado Uhamishaji wa Wafanyabiashara Mjini Nairobi Una Matatizo
Rosalia Omungo
NAIROBI, Aprili 29 (IPS) - Biashara ya Jackson Gitonga imeathirika vibaya katika ghasia za baada ya uchaguzi za hivi karibuni. Hakuweza kuondoka nyumbani kwake kwenda kuuza bidhaa zake - viatu vya mtumba, anasema, vina ubora wa juu mno. Alipata hasara kwa mara ya kwanza tangu alipoanza kufanya kazi kama mfanyabiashara zisizokuwa rasmi miaka mitatu iliyopita.
AFRIKA : Afrika Kusini Yakaribisha Madaktari wa Cuba
Stephanie Nieuwoudt
CAPE TOWN, Aprili 28 (IPS) - Kwa zaidi ya muongo mmoja sasa, madaktari nchini Cuba wamejaza sehemu ya pengo lililoachwa na madaktari wa Afrika Kusini ambao wanaondoka nchini humo kwa idadi kubwa kwa ajili ya kusaka mshahara mnono na fursa za ajira.
MASWALI NA MAJIBU : Kuimba Miondoko ya Kisiasa
Mahojiano na Mwimbaji wa Senegal Youssou N'Dour
BRUSSELS, Aprili 28 (IPS) - Kama shabiki wa muziki wa aina ya rock anakuwa na albamu moja tu katika mkusanyiko wake iliyotolewa na mwanamuziki Mwafrika, kuna nafasi ya juu zaidi ya wastani kuwa itakuwa imerikodiwa na Youssou N'Dour. Hadhi ya mwanaume huyo wa Senegal kama tajiri mkubwa zaidi katika bara kutokana na kuuza nje utamaduni ilitajwa mwaka 2005, alipokuwa Mwafrika wa pekee kutokeza katika tamasha kubwa la Live8 lililofanyika mjini London katika viwanja vya Hyde Park, tukio ambalo lilivutia watazamaji bilioni kadhaa wa televisheni, kulingana na waandaaji.
Next >>
RSS feed in Swahili
Latest News from Africa
DEVELOPMENT-AFRICA: "Political Will" Needed To Address Food Crisis
ENERGY-AFRICA: From Kerosene to the LED, O-HUB and O-BOX
ANGOLA: Irish Rock Star Geldof Riles Tempers
DEVELOPMENT-SOUTHERN AFRICA: Small Can Be Beautiful
ENERGY: World Bank, IFC Seek Investors in Off-Grid Africa
DEVELOPMENT-ZAMBIA: Counting the Cost of Recent Floods
RIGHTS: In South Africa, Zimbabwean Refugees Find Sanctuary and Contempt
Q&A: "We Mustn't Think as South Africans That We Have Won the Day"
MOZAMBIQUE: Officials Master Floods - But Battle To Contain Diseases That Follow
DR CONGO: With Rebel Leader's Indictment, a Tentative Step to Accountability
More >>
Dernières Nouvelles
DEVELOPPEMENT-AFRIQUE AUSTRALE : Le petit peut être beau
DEVELOPPEMENT-ZAMBIE: Faire le bilan des récentes inondations
ARTS : 'Africa Paradis' ou l'immigration dans le sens inverse
ENVIRONNEMENT : Le ''docteur'' nature en danger
ENERGIE : Une conférence pour éclairer l'Afrique
A lire également >>
Contact Us
|
About Us
|
Subscription
|
Help us Improve
|
News in RSS
Copyright © 2008 IPS-Inter Press Service. All rights reserved.