IPS Inter Press Service - Independent News
   Inter Press Service News Agency
Saturday, January 28, 2012   13:00 GMT    
   Homepage
   World Service
   East Africa
   Southern Africa
   West Africa
   Central Africa
 
   Environment
   Health-HIV/AIDS
   Education
   Rights
   Politics
   Economics
   and Finance
   Development
   Energy
   Population
   Culture
 
   Radio Service
 
   Français
 
   About IPS
 
   ENGLISH
   ESPAÑOL
   FRANÇAIS
   ARABIC
   ČESKY
   DEUTSCH
   ITALIANO
   JAPANESE
   MAGYAR
   NEDERLANDS
   POLSKI
   PORTUGUÊS
   SUOMI
   SVENSKA
   SWAHILI
   TÜRKÇE
Readers Opinions

Kuhamasisha Kilimo cha Embe Kupunguza Madhara ya Mabadiliko ya Tabia Nchi
Marko Gideon
DAR ES SALAAM, Jan 26, 2012 (IPS) - Mabadiliko ya tabia nchi yapo kila mahali, ni dhahiri na madhara yake yanajidhihirisha kwa uwazi zaidi kuliko siku za nyuma. Yanaathiri watu kutoka kila sekta na nyanja zote za maisha. Watu wanaoathirika zaidi ni wale wanaoishi katika nchi zinazoendelea hususan katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ambako zaidi ya asilimia 80 ya wakazi wake wanategemea kilimo cha mvua.

SUDAN KUSINI
Wanawake Walenga Kulinda Haki Zao Katika Taifa Changa
Na Amanda Wilson
WASHINGTON, Jan 26, 2012 (IPS) - Wakati Sudan Kusini ikiandaa mustakabali wake wa kiuchumi wa baadaye katika Mkutano wa Kimataifa wa Sudan Kusini (IEC) wiki hii mjini Washington, wanawake kutoka taifa hilo jipya wametoa wito kwa wafadhili kuwekeza katika miradi ambayo inahakikisha kuwa wanawake wanafaidika sawa na mipango ya maendeleo.


‘Fanyieni Kazi Mazungumzo ya Busan’
Uchambuzi na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Watetezi wa haki za wanawake hawajajiandaa kusubiri kutulia kwa vumbi la Jukwaa la Nne la Ufanisi wa Misaada lililomalizika katika mji wa bandari wa Korea Kusini Des. 1 huku wakitaka kuwepo kwa usawa wa kijinsia na uwezeshwaji.


Clinton Ahimiza Ajenda ya Jinsia Huko Busan
Na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Wanawake wanavuja jasho mashambani katika maisha yao yote wakizalisha chakula na kuimarisha uchumi ambao unategemea zaidi kilimo katika bara la Afrika, lakini wakati baba zao, waume au watoto wao wakubwa wa kiume wanapofariki, hawakaribishwi tena katika ardhi ambayo wamekuwa wakilima kwa miaka mingi.


‘Hakuna Lolote Kutoka Busan kwa Wanawake na Watoto wa Afrika’
Na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Pamoja na kuwepo kwa mafanikio katika kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga, mamilioni ya wanawake na watoto barani Afrika wanahitaji huduma bora za afya, chakula na huduma za usafi wa mazingira.


‘Hakuna Lolote Kutoka Busan kwa Wanawake na Watoto wa Afrika’
Na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Pamoja na kuwepo kwa mafanikio katika kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga, mamilioni ya wanawake na watoto barani Afrika wanahitaji huduma bora za afya, chakula na huduma za usafi wa mazingira.


Hakuna Anayehesabu Msaada wa Wanawake
Na Miriam Gathigah
BUSAN, Korea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) - Bajeti inayozingatia jinsia inakuwa muhimu wakati inapoonekana kuwa haijatolewa lakini inafanya kazi nzuri ya kutoa huduma kwa jamii, wanasema wajumbe wa mkutano wa kimataifa juu ya ufanisi wa misaada katika mji huo wa Korea Kusini.

LIBERIA
KUCHAGULIWA TENA KWA SIRLEAF NI USHINDI WA WANAWAKE
Na Stephen Binda
MONROVIA, Jan 26, 2012 (IPS) - Ushindi wa Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf kwa awamu ya pili unaelezewa kama ushindi wa wanawake pamoja na utata uliosababisha upinzani kugoma kushiriki katika marudio ya uchaguzi.


Mahakama Mbili za Wanawake Nchini Kenya Zaanza Kufanya Kazi
Na Protus Onyango
NAIROBI, Jan 26, 2012 (IPS) - Naibu Jaji Mkuu wa Mahakama Kuu ya Kenya Nancy Baraza, ambaye alitengeneza historia kama mwanamke wa kwanza aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo, ameshaanza kufanyia marekebisho mfumo wa mahakama nchini humo.


Wanawake Wengi Wazee Hawana Pensheni
Na Paul Carlucci na Jamila Akweley Okertchiri
ACCRA, Jan 25, 2012 (IPS) - Kando kando mwa Old Fadama, makazi duni yasiyokuwa halali maarufu mjini Accra, Mariana Sayitou mwenye umri wa miaka 67 ameketi chini ya kivuli na anaendelea kujitafutia kipato kwa kuuza njugu mawe na kiasi kidogo cha maharage kwa wapita njia.

 

 

Next >>

 








 Latest News from Africa
News in RSS
DEVELOPMENT: Uniting Against Extreme Poverty
HEALTH-SOUTH AFRICA: HIV-Related Deaths Slow Economy
MIDEAST: Censorship Changes Colours
ZIMBABWE: To Yuan or Not to Yuan, That is the Question
CAMEROON: Anglophones Feel Like a Subjugated People
MALAWI: Street Vendors Lose Customers after Stripping Women Naked
EGYPT: Arab Spring Gives Way to Military Chill
AFRICA: Miracle Tree is Like a Supermarket
U.S. Condemns Boko Haram Attacks
KENYA: Four Years On, IDPs Remain in Camps
More >>
  Dernières Nouvelles
News in RSS
GUINEE: Un nouveau cadre de négociation dans le secteur minier
ZIMBABWE: Le micro-crédit aggrave la 'maladie de janvier'
MALI: L’armée engagée dans un combat contre un groupe armé au nord
ILE MAURICE: Les femmes trouvent une voix politique, localement
KENYA: Parcourir des mètres au lieu des kilomètres pour puiser de l’eau
A lire également >>