Inter Press Service News Agency
Saturday, July 31, 2010 23:31 GMT
Homepage
World Service
East Africa
Southern Africa
West Africa
Central Africa
Environment
Health-HIV/AIDS
Education
Rights
Politics
Economics
and Finance
Development
Energy
Population
Culture
Radio Service
Français
About IPS
ENGLISH
ESPAÑOL
FRANÇAIS
ARABIC
ČESKY
DEUTSCH
ITALIANO
JAPANESE
NEDERLANDS
POLSKI
PORTUGUÊS
SUOMI
SVENSKA
SWAHILI
ZIMBABWE
Huduma za Uzazi za 'Bure' Zina Gharama Kubwa Kwa Wengi
Ignatius Banda
BULAWAYO, Jul 26 (IPS) - Wakati wakuu wa Umoja wa Afrika wakijadili afya ya mtoto na uzazi katika mkutano wa kilele 2010 unaoendelea mjini Kampala, Uganda, swali muhimu la kulipia huduma limeingia mara chache kwenye vichwa vya wengi nchini Zimbabwe. Malipo kwa ajili ya kupatiwa huduma yanafungua pengo linalozidi kukua kati ya sera na utekelezaji wa afya ya uzazi katika nchi hiyo ya Kusini mwa Afrika.
KENYA
Wakunga wa Jadi Hawatambuliki
Susan Anyangu-Amu
NAIROBI, Jul 26 (IPS) - Kundi la wanawake waliokusanyika pamoja wameketi kwenye mawe mbele ya nyumba ya mkunga wa jadi Elizabeth Sibuor katika kitongoji cha makazi duni ya Mathare jijini Nairobi. Mmoja wao, Eunice Okoth mwenye umri wa miaka 21, ana mimba, na uso wake unaonyesha hofu. Anasimama haraka na kumfuata Sibuor katika chumba chake kidogo ndani ya nyumba.
KUSINI MWA AFRIKA
Vijana Rahisi Kujiingiza Kwenye Ghasia
Zukiswa Zimela na Kelvin Kachingwe
JOHANNESBURG na LUSAKA, Jul 23 (IPS) - James Banda, 27, ni kijana ambaye hana ajira moja na kuna wakati anaajiriwa kwa muda kama kondakta wa basi katika Kituo cha Mabasi cha Kulima Tower mjini Lusaka. Inawezekana hana kazi ya kudumu, lakini ni rahisi kumpata. Kila mtu anayemhitaji inabidi kwenda kwenye kituo cha mabasi na kuuliza. Kila mtu anajua yupo wapi. Banda, au kama watu wanavyomwita ‘ba-Jay', ni kijana ambaye anaheshimika mno kwa marafiki.
MAZINGIRA
CHANGAMOTO KWA VYUO VIKUU KUTOA KIPAUMBELE MAFUNZO YA MAZINGIRA, KUTUMIA MTAALA ENDELEVU
Rose Haji
Dar es Salaam, 22 Julai (IPS) - "Asilimia 80 ya watu waishio vijijini wanategemea sana maliasili ya mazingira. Na maisha yao hutegemea zaidi hifadhi ya mazingira ili kutimiza lengo la Milenia ya kupunguza umaskini", alisema Blandina Cheche, Mratibu wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
ZIMBABWE
Wasichana Wajawazito Wenye VVU Wakimbia Tiba kwa Kuhofia Unyanyapaa
Ignatius Banda
BULAWAYO, Jul 22 (IPS) - Katika kliniki ya wazazi katika moja ya vitongoji vyenye wakazi wengi jijini Bulawayo, wakunga wa ajdi wako katika maumivu makali kuelezea kwa msichana wa miaka 15 mwenye mimba ni kwa nini lazima apime VVU kabla ya kujifungua.
ZAMBIA
Wito kwa Vyama vya Siasa Kujaza Asilimia 50 ya Wagombea Wanawake
Kelvin Kachingwe
LUSAKA, Jul 22 (IPS) - Wakati wanawake wakiwa wamefanikiwa kidogo mno katika uwakilishi wa nafasi za utoaji wa maamuzi nchini Zambia, shirika la kutetea haki za wanawake nchini humo linatarajia mabadiliko ya jambo hili katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2011.
AFYA
Haki ya Wakenya ya Uwezo wa Kununua Madawa Mahakamani
Suleiman Mbatiah
NAIROBI, Jul 22 (IPS) - Mahakama ya Kikatiba ya Kenya inaelekea kupanga tarehe ya Julai 22 kwa ajili ya kusikiliza madai dhidi ya Sheria ya Kupambana na Bidhaa Bandia ya 2008, ambapo vifungu vinavyohusu madawa vimeahirishwa kwa ajili ya kusubiri uamuzi wa mahakama juu ya kama sheria inakiuka haki ya afya na maisha.
AFRIKA
Mafuta Yanayopunguza Maambukizi ya VVU Yaleta Matumaini kwa Wanawake
Zahira Kharsany
JOHANNESBURG, Julai 21 (IPS) - Wakati wanawake kutoka wilaya ya kijijini ya Vulindela huko KwaZulu-Natal walipoanza kushiriki katika kuzuia maambukizi ya VVU wengi walikuwa hawawezi kujadiliana kutumia kondomu au hata kufanya mapenzi salama na wapenzi wao.
SWAZILAND
VVU – Umbali Mrefu Vyahatarisha Maisha ya Mama Wajawazito
Mantoe Phakathi
MBABANE, Jul 21 (IPS) - Akijulikana kwa jumuiya ya Ndvwabangeni kama Gogo Zondo kaskazini mwa Swaziland, Margaret Zondo ni mganga wa jadi ambaye anasaidia kutibu wagonjwa na kuzalisha wanawake.
AFRIKA
Mafuta Yanayopunguza Maambukizi ya VVU Yaleta Matumaini kwa Wanawake
Zahira Kharsany
JOHANNESBURG, Julai 21 (IPS) - Wakati wanawake kutoka wilaya ya kijijini ya Vulindela huko KwaZulu-Natal walipoanza kushiriki katika kuzuia maambukizi ya VVU wengi walikuwa hawawezi kujadiliana kutumia kondomu au hata kufanya mapenzi salama na wapenzi wao.
Next >>
RSS feed in Swahili
Latest News from Africa
BURKINA FASO: Race to Achieve Goals on Sanitation
MALAWI: Innovative Campaigning by Women Candidates
SOUTHERN AFRICA: Realising Trade in Virtual Water
KENYA: Claim Disputed that Trade Measures "Aid" Counterfeiters
POLITICS-GUINEA: Women Amongst Also-Rans in Presidential Elections
ZIMBABWE: Badly Needed Work Begins on Bulawayo Water System
MADAGASCAR: Women Form Own Political Parties for Fair Representation
HEALTH: Uganda Authority Finding Less Counterfeit Drugs
TRADE-NAMIBIA: EU Backs Off on EPA
TRADE: Malawi Stands Firm on Conditions for Signing EPA
More >>
Dernières Nouvelles
AFRIQUE: "Le libre-échange dans les ressources naturelles nuit au développement"
KENYA: Toujours pas de décision définitive sur les accoucheuses traditionnelles
MALAWI: La mesure d’économie du gouvernement coûte cher aux commerçants
AFRIQUE: Des promesses habituelles sur la santé infantile et maternelle
AFRIQUE AUSTRALE: Les jeunes vulnérables à la violence
A lire également >>
Contact Us
|
About Us
|
Subscription
|
Help us Improve
|
News in RSS
Copyright © 2010 IPS-Inter Press Service. All rights reserved.