Inter Press Service News Agency
Thursday, June 20, 2013 12:09 GMT
Homepage
World Service
East Africa
Southern Africa
West Africa
Central Africa
Environment
Health-HIV/AIDS
Education
Rights
Politics
Economics
and Finance
Development
Energy
Population
Culture
Radio Service
Français
About IPS
ENGLISH
ESPAÑOL
FRANÇAIS
ARABIC
ČESKY
DEUTSCH
ITALIANO
JAPANESE
MAGYAR
NEDERLANDS
POLSKI
PORTUGUÊS
SRPSKI
SUOMI
SVENSKA
SWAHILI
TÜRKÇE
TANZANIA
SACCOS Zasaidia Kuinua Kilimo Bagamoyo
Na Marko Gideon
BAGAMOYO, Mei 28 (IPS) - "Kilimo Kwanza" ni mkakati mzuri kama utatekelezwa kwa ufanisi", alisema Salum Shamte, Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Kilimo Tanzania wakati wa mahojiano maalum kwa njia ya simu na mwandishi wa makala haya.
Mashirika ya Kiraia Yashambuliwa Duniani Kote
Mandeep S.Tiwana
JOHANNESBURG, Mei 28 (IPS) - Mwezi Desemba 2011, serikali na mashirika makubwa ya kimataifa 159 yalitambua jukumu kubwa linalotekelezwa na mashirika ya kiraia katika kuleta maendeleo na kuahidi kujenga mazingira rafiki ya kuendeshea sekta isiyokuwa ya kutengeneza faida.
Chini ya Ziwa Nyasa Kuna ‘Udongo wa Kipekee’
Thembi Mutch
ARUSHA, Tanzania , Mei 20 (IPS) - Jamii za Watanzania wanaopakana na Ziwa Nyasa hawana ufahamu mgogoro kati ya nchi yao na Malawi unahusu nini, wala ni nini cha umuhimu katika mgogoro huo, wakati jitihada za upatanishi kati ya Malawi na Tanzania zinategemewa kuanza hivi karibuni.
Watu Milioni Mbili Wameweka Matumaini yao Katika Usuluhishi wa Mgogoro wa Ziwa Nyasa
Mabvuto Banda
LILONGWE, Mei 20 (IPS) - Zaidi ya familia milioni mbili ambazo zinategemea Ziwa Nyasa kwa ajii ya kipato chao zinasubiri kwa hamu usuluhishi wa mgogoro wa ziwa hilo kati ya Malawi na Tanzania ili kukomesha mgogoro wa umiliki wa ziwa hilo.
Mgogoro wa Ziwa Nyasa Wazua Hofu kwa Wavuvi
Mabvuto Banda
KARONGA, Malawi, May 6 (IPS) - Tangu akiwa na umri wa miaka tisa, Martin Mhango kutoka kijiji cha Karonga kaskazini mwa Malawi hajawahi kufahamu njia nyingine ya kumwingizia kipato zaidi ya uvuvi. Na katika kipindi cha miaka 33 iliyopita amekuwa akivua samaki kwa uhuru katika Ziwa Nyasa – hadi Oktoba mwaka jana alipokamatwa na kuweka kizuizini na kupigwa na vikosi vya usalama vya Tanzania.
TANZANIA
Klabu za Vijana, Ufumbuzi wa Changamoto za Watu, Afya na Mazingira
Na Marko Gideon
PANGANI, May 6 (IPS) - Sensa ya Idadi ya Watu na Makazi ya mwaka 2002 ilionyesha kwamba idadi ya watu Tanzania iliongezeka kutoka milioni 23.1 mnamo 1988 hadi milioni 34.4 mnamo 2002, ikiwa ni wastani wa kiwango cha ukuaji cha asilimia 2.9 kwa mwaka. Sehemu ya watu wenye umri chini ya miaka 15 ilikuwa karibu asilimia 44, kwa mujibu wa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu 2006.
Timbuktu Yarejesha Hazina Zake
A. D. McKenzie
PARIS,, May 2 (IPS) - Pamoja na hali tata na vita vinavyoendelea, Mali itafanya kazi ya kujenga na kulinda urithi wake wa kitamaduni, anasema waziri wa utamaduni wa taifa hilo la Afrika Magharibi Bruno Maïga. Maïga alikuwa mjini Paris akihudhuria "siku ya mshikamano na Mali" iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) katika makao yake makuu hapa. Tukio hilo lilikusanya pamoja wataalam wa masuala ya utamaduni, wakuu wa serikali, wanasanaa na wasomi kutathmini uharibifu uliofanyika katika maeneo ya urithi wa kitamaduni ya Mali na maandiko ya kizamani, na kuandaa mpango wa kuchukua hatua.
Maswali na Majibu
Redio yawapatia Sauti Vijana wa Adeika Kusini - Gives a Voices to South African Youth
Joan Erakit
UMOJA WA MATAIFA, May 2, (IPS) - Lesedi Mogoatlhe amejitolea maisha yake katika kuwawezesha vijana wa Afrika kwa kuwafanya sauti zao zisikike kupitia uandishi wa habari wa redio.Katika wakati wa changamoto za kiuchumi, kisiada na kitamaduni, vijana wa Afrika Kusini wanakabiliwa na masuala magumu mno. Wakiwa vijana wadogo wanahofia juu ya mustakabali wa marafiki zao, familia, elimu na maisha ya jamii, lakini wakiwa kama Waafrika Kusini pia wanakabiliwa na ukweli wa umaskini mkubwa, magonjwa na ghasia.
Uwazi Unaweza Kuimarisha Sera za Kukabiliana na Ukame
Isolda Agazzi
GENEVA, Machi 15 (IPS) - Wanasayansi waliokusanyika mjini Geneva kwa ajili ya Mkutano wa Kwanza wa Watu Maarufu kuhusu Sera za Ukame (HMNDP) katika kipindi cha miaka zaidi ya 30 iliyopita walibainisha ukusanyaji wa takwimu na usambazaji wa taarifa kama moja ya changamoto kubwa za kuzuia ukame kikamilifu. Pia walisema kuwa na malengo sahihi na dhamira ya kisiasa yenye nguvu itakuwa muhimu katika kujenga sera katika ngazi ya kitaifa. Waliyasema haya katika mkutano ambao uliandaliwa kwa pamoja na Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuzuia Kuenea kwa Jangwa (UNCC), Shirika la Chakula Duniani (FAO) na Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), kati ya Machi 11-15 kujaribu kuanzisha mjadala wa kimataifa juu ya sera za kitaifa.
ANGOLA
Paneli za Jua Zabadili Maji Machafu Kuwa Masafi
Louise Redvers
LUANDA, Machi 8 2012 (IPS) - Kontena lililopigwa rangi nzuri huku likiwa na paneli za jua katika paa lake na vifaa vya kuchujia maji linaonekana katika kijiji hiki cha vumbi cha Bom Jesus, kama kilomita 50 mashariki mwa mji mkuu wa Angola, Luanda.
Next >>
RSS feed in Swahili
Latest News from Africa
Somalia’s ‘Cultural Shift’ Means Less-Severe Form of FGM
Rebuilding Zimbabwe’s Health System
Diamond Mining Could Push Angola’s Antelope to Extinction
MDGs Fund Boosts Food Security
Freeing Trade Between South Africa and Nigeria
Stealing Gas from the Poor to Power the Rich
Examining the Depths of Ethiopia’s Corruption
In Swaziland, Seeds Beat Drought
Q&A: Of Riots and Rice in Africa
Zimbabwean Farmers Adrift Amid Power Struggles
More >>
Dernières Nouvelles
OUGANDA: Ramener à l’école les enfants engagés dans le travail
KENYA: Une fille qui ne pouvait pas être bergère sauve désormais des vies
RD CONGO: Un exil de 20 ans oublié pour les réfugiés congolais au Rwanda
ETHIOPIE: Saisir des terres pour fournir de l’électricité à la Corne de l’Afrique
AFRIQUE: Les paysans réclament leurs terres à la multinationale Bolloré
A lire également >>
Contact Us
|
About Us
|
Subscription
|
Help us Improve
|
News in RSS
Copyright © 2013 IPS-Inter Press Service. All rights reserved.